Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS๐Ÿ’Œ๐Ÿ’•
โ˜ฐ
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image
WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
236 Comments

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
237 Comments

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

236 Comments

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Featured Image
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja, Mhudumu: kaka nikuhudumie nini, Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
237 Comments

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Featured Image
Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME"
237 Comments

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Featured Image
236 Comments

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Featured Image
236 Comments

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Featured Image
236 Comments

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?โ€ฆ.Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka โ€ฆmajimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
236 Comments

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Featured Image

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"

236 Comments