Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Misemo ya kina dada

Featured Image
237 Comments

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image
236 Comments

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Featured Image
237 Comments

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image
237 Comments

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 Comments

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Featured Image
236 Comments

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Featured Image
236 Comments

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Featured Image
236 Comments

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image
236 Comments

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
236 Comments