Vitu haviwezi kujisogeza
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kwenye dunia hii vitu haviwezi kusimama kama havijasimamishwa.
Read more
Close
Kutokuwa na kitu
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kukosa mtu, kitu au jambo fulani kunasababila Moyo kujenga upendo kwenye mtu, kitu au jambo ulilolikosa.
Read more
Close
Maisha ya ujana
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Maisha ya ujana ni kufanya mema au mabaya, kushinda au kushindwa. Uzee ni sherehe au majuto ya ujana.
Read more
Close
Umakini
Updated at: 2024-05-23 16:12:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
UMAKINI ni siri kuu ambayo wenye akili wote, wasomi na wanasayansi wanaitegemea.
Read more
Close
Maendeleo kwa mfano wa Kobe
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kupata maendeleo kwa kusitasita na kuogopaogopa. Hata kobe anayesonga mbele ni yule anayetoa kichwa chake kwenye gamba/nyumba yake.
Read more
Close
Umbali na upendo
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unapokosa kitu ukipendacho kwa muda mfupi kinapungua thamani, ukikikosa kwa muda mrefu thamani yake yote hupotea.
Read more
Close
Siri ya kushinda hasira
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Siri kuu ya kuishinda hasira yako ni kusubiri kabla ya kutenda unapokuwa na hasira.
Read more
Close
Maneno na matendo
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uwe mzuri kwenye kufanya kama ulivyo kwenye kufikiri. Matendo yako yafanane na maneno na maneno na matendo.
Read more
Close
Vile unavyotoa ndivyo unavyopokea
Updated at: 2024-05-23 16:12:36 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vile unavyotoa ndivyo unavyopokea. Yule anayetoa sana ndiye ansyepokea sana. Kutoa ni kuhifadhi.
Read more
Close
Urithi wa mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kila mtu ni mrithi wake yeye mwenyewe. Mafanikio yako ya baadae ni urithi wako ulioutengeneza hapo awali. Utajiri wako wa sasa unatokana na uliyoyawekeza miaka ya nyuma na utajiri wako ujao ni yale unayoyawekeza sasa.
Read more
Close