MAHITAJI
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi – 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa – 1 kikombe
Zabibu kavu – 1 Kikombe
Arki (essence) – 1 Kijiko cha supu
MAPISHI
Weka karai kwenye moto kiasi
Tia siagi
Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
Weka lozi na zabibu huku unakoroga
Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
Tia arki
Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE