1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal no haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa Share na washikaji zako😜😜i
Download Kitabu hiki Kifuatacho cha SIRI ZA MWANAMKE kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
📕Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE👧👗👠
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya Kujenga Mazoea ya Shukrani na Kuonyesha Furaha kwa mke wako
Jinsi ya Kusimamia tofauti za maoni na migogoro katika uhusiano wa mapenzi
Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu mipango ya likizo na safari za pamoja
Kuhamasisha Ushirikiano wa Kujifunza na Kuendeleza Maarifa katika Familia
Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kuwa na wazazi na familia na mpenzi wako
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha mahusiano ya kifamilia
Kuboresha Mawasiliano ya Kijinsia katika Uhusiano wa Kufanya Mapenzi
Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Jamaa katika Familia Yako