1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal no haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa Share na washikaji zako😜😜i
Download Kitabu hiki Kifuatacho cha SIRI ZA MWANAMKE kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
📕Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE👧👗👠
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Je, watu wanapendelea kujaribu aina mbalimbali za ngono/kufanya mapenzi kama vile BDSM?
Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya kujitolea na kusaidia wengine
Je, nini imani ya watu katika kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama njia ya kuimarisha uhusiano wako?
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha mazingira ya upendo na kuunga mkono ndoto za kila mmoja
Njia za Kupunguza Mazoea ya Kukosa Uwiano katika Familia: Kuweka Nafasi ya Mazungumzo na Ushiriki
Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi?
Kuendeleza na Kuimarisha Familia Yako: Mipango ya Baadaye
Njia za Kuimarisha Ushirikiano na Kufanya Familia Iwe na Amani na Furaha