1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal no haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa Share na washikaji zako😜😜i
Download Kitabu hiki Kifuatacho cha SIRI ZA MWANAMKE kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
📕Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE👧👗👠
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kujenga Ushirikiano wa Kimapenzi: Njia za Kupanua Uzoefu na Urahisi
Je, kuna umuhimu wa ngono/kufanya mapenzi unabadilika wakati wa mzunguko wa maisha?
Jinsi ya Kuwa na Tafakari na Mazungumzo ya Kimahaba na mke wako
Fantasies za Kufanya Mapenzi: Jinsi ya Kuzungumza na Mwenza wako
Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Familia yako
Jinsi ya Kupata Msichana wa Kuwa na Uhusiano wa Mbali
Jinsi ya Kuunda Mazingira ya Kujifunza na Kukua katika Familia
Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya elimu na mafunzo