1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal no haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa Share na washikaji zako😜😜i
Download Kitabu hiki Kifuatacho cha SIRI ZA MWANAMKE kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
📕Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE👧👗👠
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Njia za Kujenga Ushirikiano na Msichana katika Malengo ya Pamoja
Kukabiliana na Mazoea na Monotoni katika Mahusiano: Njia za Kuchochea Uzuri Mpya
Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wa kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Uhusiano wa Mbali na Kufanya Mapenzi: Njia za Kuimarisha Ushirikiano wakati wa Kutengana
Njia za Kupitia Matatizo ya Fedha katika Uhusiano wako
Jinsi ya Kusaidia Watoto kukabiliana na Mafadhaiko na Shinikizo katika Maisha ya Familia
Jinsi ya Kuunda Mazingira ya Kujifunza na Kukua katika Familia
Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu malengo ya kusaidia jamii na kufanya mabadiliko