Siku zote mwanamke hawezi pata mwanaume aliye sahihi,,,.
1. Ukimpata handsome,,kichwa yake ni empty.
2. Ukimpata genius…yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic , hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno
3. Ukimpata tajiri…hawezi kukuheshimu full madharau, utamwambia nini wakati hela anayo bana.
4. Ukimpata mfanyakazi hodari na mtafutaji…hana muda wa kuwa na wewe..muda wote anawaza kazi na kutafuta maisha
5. Ukimpata mnyenyekevu…mfukoni huwa 0%.
6. Ukimpata anayekupenda kwa dhati…anakuwa siyo type yako..hana pozi zile unazitaka.
7. Ukimpata msomi..hasikilizi ushauri wako..anakuona Boya tu.
8. Ukimpata yule smart…ni muongo to the maximum… na player
So listen to your heart…❤❤, na shukuruni kwa kila jambo, toka anguko la Adam hakuna mtu perfect..hata wewe hauko perfect.
Kwa nini kulilia watu perfect??
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya Kujenga Intimiteti ya Kihisia katika Mahusiano
Je, kuwa kuna mambo ambayo hayafai kuzungumziwa kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana
Jinsi ya Kuweka mipaka na kuheshimu mipaka ya mpenzi wako
Kuhamasisha Ushirikiano wa Kielimu na Kuweka Mazingira ya Kujifunza katika Familia
Jinsi ya Kujenga Heshima na Uthamani katika Ndoa na mke wako
Je, ni muhimu kuelewa na kuheshimu hisia za mwenza wako wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Jinsi ya Kukuza Utatuzi wa Mizozo na Ushirikiano katika Familia Yako