Siku zote mwanamke hawezi pata mwanaume aliye sahihi,,,.
1. Ukimpata handsome,,kichwa yake ni empty.
2. Ukimpata genius…yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic , hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno
3. Ukimpata tajiri…hawezi kukuheshimu full madharau, utamwambia nini wakati hela anayo bana.
4. Ukimpata mfanyakazi hodari na mtafutaji…hana muda wa kuwa na wewe..muda wote anawaza kazi na kutafuta maisha
5. Ukimpata mnyenyekevu…mfukoni huwa 0%.
6. Ukimpata anayekupenda kwa dhati…anakuwa siyo type yako..hana pozi zile unazitaka.
7. Ukimpata msomi..hasikilizi ushauri wako..anakuona Boya tu.
8. Ukimpata yule smart…ni muongo to the maximum… na player
So listen to your heart…❤❤, na shukuruni kwa kila jambo, toka anguko la Adam hakuna mtu perfect..hata wewe hauko perfect.
Kwa nini kulilia watu perfect??
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Uwazi na Watoto Kuhusu Jinsia na Mahusiano
Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kufurahia: Kuweka Usawa kati ya Kazi na Familia
Kujenga Ukaribu wa Kihisia kupitia Kufanya Mapenzi: Kuunganisha Roho na Miili
Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kiimani na mafundisho ya kidini na mpenzi wako
Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano
Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Ukarimu na Upendo katika Familia yako
Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Kufurahisha na Watoto: Kujenga Kumbukumbu za Kucheka
Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?