Siku zote mwanamke hawezi pata mwanaume aliye sahihi,,,.
1. Ukimpata handsome,,kichwa yake ni empty.
2. Ukimpata genius…yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic , hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno
3. Ukimpata tajiri…hawezi kukuheshimu full madharau, utamwambia nini wakati hela anayo bana.
4. Ukimpata mfanyakazi hodari na mtafutaji…hana muda wa kuwa na wewe..muda wote anawaza kazi na kutafuta maisha
5. Ukimpata mnyenyekevu…mfukoni huwa 0%.
6. Ukimpata anayekupenda kwa dhati…anakuwa siyo type yako..hana pozi zile unazitaka.
7. Ukimpata msomi..hasikilizi ushauri wako..anakuona Boya tu.
8. Ukimpata yule smart…ni muongo to the maximum… na player
So listen to your heart…❤❤, na shukuruni kwa kila jambo, toka anguko la Adam hakuna mtu perfect..hata wewe hauko perfect.
Kwa nini kulilia watu perfect??
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya Kugawana Majukumu ya Nyumbani na mke wako
Jinsi ya Kuelewa na kuheshimu mipaka ya kazi na mapumziko ya mpenzi wako
Kuweka Kipaumbele cha Kusawazisha Maisha ya Kazi na Maisha ya Familia katika Mahusiano
Kujenga Ushirikiano wa Kifedha na Kuweka Malengo ya Pamoja katika Familia
Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kijiografia na maisha ya nyumbani na mpenzi wako
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha mipango ya baadaye
Je, unafikiri ni muhimu kuwa na uelewa wa masuala ya afya na usalama katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?