Mambo 7 ambayo mwanaume apaswi kumfanyia mke wake..
1. Usimpige.
2. Usimtukane na kumshushia heshima.
3. Usimfanye ajihisi hapendwi na anamkosi.
4. Usimbake.
5. Usimsaliti na kujionyesha kabisa kwamba una saliti.
6. Msikilize pale anapokua na stress, mpe muda wako, mkumbatie na mpe maneno ya faraja.
7. Mpe zawadi, hata kama ni ndogo kiasi gani kwake ni alama tosha.
Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili kuwafahamu zaidi Wanawake
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
πKitabu cha SIRI ZA MWANAMKEπ§ππ
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya Kuwa na Tafakari na Mazungumzo ya Kimahaba na mke wako
Njia za Kuimarisha Imani na Uaminifu katika Mahusiano
Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mzuri na Msichana
Njia za Kuweka Kipaumbele cha Kusaidiana na Kujali katika Familia
Njia za Kupunguza Mafadhaiko katika Kufanya Mapenzi: Kujenga Hali ya Utulivu na Kujitosheleza
Jinsi ya Kuongoza kwa Upendo: Njia ya Kulea Watoto wenye Mafanikio
Vidokezo vya Kuchagua Tarehe ya Kuvutia na Msichana
Jinsi ya Kukabiliana na Changamoto za Kifedha katika Familia