Angalia Binadamu walivyo!,
“Ukitafuta sana anakuita MCHAWI,”
Ukifanikiwa sio BURE,
“Ukitulia MVIVU,”,
Usipovaa vizuri MCHAFU,
Ukidili sana na masomo unajifanya MSOMI,
Usipodili nayo MJINGA,
Ukisema sana MBEA,
Ukiwa mkimya JEURI,
Ukiwasaidia watu UNATAKA SIFA,
Usipowasaidia ROHO MBAYA,
Ukiwa na kazi UNAJISIKIA,
Usipokua nayo MZEMBE.
Hivyo BINADAMU ndivyo walivyo wewe jali MAISHA YAKO TU NA MAENDELEO YAKO.
MUNGU akulinde na shari zao.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kujenga Uhusiano wa Kudumu: Je, Kufanya Mapenzi ya Mara Moja Inafaa?
Njia za Kuimarisha Ushirikiano na Kuunga Mkono Ndoto za Kila Mwanafamilia
Jifunze kitu kupitia kisa hiki cha mume na mke
Kujenga Ushirikiano wenye Kusaidiana na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia
Jinsi ya Kudumisha Umoja na Kuishi kwa Amani katika Familia
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha mahusiano ya kifamilia
Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya burudani na matukio ya kijamii
Jinsi ya Kujenga Furaha na Amani katika Ndoa na mke wako