Angalia Binadamu walivyo!,
“Ukitafuta sana anakuita MCHAWI,”
Ukifanikiwa sio BURE,
“Ukitulia MVIVU,”,
Usipovaa vizuri MCHAFU,
Ukidili sana na masomo unajifanya MSOMI,
Usipodili nayo MJINGA,
Ukisema sana MBEA,
Ukiwa mkimya JEURI,
Ukiwasaidia watu UNATAKA SIFA,
Usipowasaidia ROHO MBAYA,
Ukiwa na kazi UNAJISIKIA,
Usipokua nayo MZEMBE.
Hivyo BINADAMU ndivyo walivyo wewe jali MAISHA YAKO TU NA MAENDELEO YAKO.
MUNGU akulinde na shari zao.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya kueleza hisia zako kwa mke wako
Kupata Urahisishaji na Kusaidia katika Masuala ya Kufanya Mapenzi: Njia za Kuomba Msaada
Kufanya Mapenzi Salama na Kuepuka Hatari za Afya: Miongozo na Mbinu
Vidokezo vya Kuweka Uhusiano wako na Msichana Hai
Jinsi ya Kusimamia Uchungu wa Kupendwa na Msichana
Je, watu wanapendelea kujaribu kufanya mapenzi?
Kujenga Ushirikiano wenye Kusaidiana na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia
Jinsi ya Kujenga Ushirikiano wenye Ushawishi katika Mahusiano yako ya Kazi