Angalia Binadamu walivyo!,
“Ukitafuta sana anakuita MCHAWI,”
Ukifanikiwa sio BURE,
“Ukitulia MVIVU,”,
Usipovaa vizuri MCHAFU,
Ukidili sana na masomo unajifanya MSOMI,
Usipodili nayo MJINGA,
Ukisema sana MBEA,
Ukiwa mkimya JEURI,
Ukiwasaidia watu UNATAKA SIFA,
Usipowasaidia ROHO MBAYA,
Ukiwa na kazi UNAJISIKIA,
Usipokua nayo MZEMBE.
Hivyo BINADAMU ndivyo walivyo wewe jali MAISHA YAKO TU NA MAENDELEO YAKO.
MUNGU akulinde na shari zao.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha mahusiano ya kifamilia
Kuweka Mazingira ya Shukrani na Kuwa na Amani na Furaha katika Familia
Kujenga Ushirikiano na Kusawazisha Majukumu katika Mahusiano ya Ndoa
Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujenga ujasiri wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Jinsi ya Kusaidia Watoto kukabiliana na Mafadhaiko na Shinikizo katika Maisha ya Familia
Jinsi ya Kupenda na Kuthamini Ndugu: Kuonyesha Upendo katika Neno na Matendo
Jinsi ya Kujenga Ushirikiano wenye Ushawishi katika Mahusiano yako ya Kazi
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele?