Angalia Binadamu walivyo!,
“Ukitafuta sana anakuita MCHAWI,”
Ukifanikiwa sio BURE,
“Ukitulia MVIVU,”,
Usipovaa vizuri MCHAFU,
Ukidili sana na masomo unajifanya MSOMI,
Usipodili nayo MJINGA,
Ukisema sana MBEA,
Ukiwa mkimya JEURI,
Ukiwasaidia watu UNATAKA SIFA,
Usipowasaidia ROHO MBAYA,
Ukiwa na kazi UNAJISIKIA,
Usipokua nayo MZEMBE.
Hivyo BINADAMU ndivyo walivyo wewe jali MAISHA YAKO TU NA MAENDELEO YAKO.
MUNGU akulinde na shari zao.
Editor: Melkisedeck Leon Shine, Enjoyed? Drop your Comment Below. OR Chat Live here. Download My Books in PDF Format here. More: Legal Guidelines | About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kisiasa na mitazamo na mpenzi wako
Njia za Kuunganisha na Kuwa na Furaha katika Familia Yako
Njia za Kukabiliana na Kukosa Hamu ya Kufanya Mapenzi: Kurejesha Nguvu ya Mapenzi
Je, mawasiliano ni muhimu katika kuboresha uzoefu wa ngono/kufanya mapenzi?
Njia za Kujenga Mazingira ya Kuaminika katika Uhusiano wako na Msichana
Kujenga Ushirikiano wenye Mshikamano na Kuweka Nafasi ya Kushiriki Wajibu