Angalia Binadamu walivyo!,
“Ukitafuta sana anakuita MCHAWI,”
Ukifanikiwa sio BURE,
“Ukitulia MVIVU,”,
Usipovaa vizuri MCHAFU,
Ukidili sana na masomo unajifanya MSOMI,
Usipodili nayo MJINGA,
Ukisema sana MBEA,
Ukiwa mkimya JEURI,
Ukiwasaidia watu UNATAKA SIFA,
Usipowasaidia ROHO MBAYA,
Ukiwa na kazi UNAJISIKIA,
Usipokua nayo MZEMBE.
Hivyo BINADAMU ndivyo walivyo wewe jali MAISHA YAKO TU NA MAENDELEO YAKO.
MUNGU akulinde na shari zao.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Mambo 6 ambayo ni siri ya mwanamke na sio rahisi kukwambia
Kuweka Kipaumbele cha Kuishi kwa Uwiano na Kustawisha Maendeleo ya Familia
Jinsi ya Kusaidia Watoto kujenga Ujuzi wa Kijamii na Kuwa na Ukaribu
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kukuza na kudumisha ujuzi na talanta
Jinsi ya Kufanya mipango ya baadaye na ndoto za pamoja na mpenzi wako
Kukuza Urafiki na Upendo katika Familia Yako ili Iwe na Amani na Furaha
Vidokezo vya Kufanya Msichana Ajiambie Kuwa Anakupenda
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha ushirikiano na majirani