Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi ya magonjwa kutokana na kuwa na harufu kali inayosaidia kuwafukuza wadudu kama vidukari, bungo na hata panya.
Hatua za kufuata kutengeneza dawa ya kitunguu saumu
- Saga kitunguu saumu kimoja,
- Changanyakwenye lita moja ya maji
- Nyunyizia kwenye mazao.
Namna nyingine ya kutengeneza dawa
- Unaweza pia kusaga vitunguu saumu 3,
- kishachanganya na mafuta taa,
- acha ikae kwa siku tatu,
- kisha ongeza lita 10 za maji ya sabuni na unyunyizie.
Hii itaondoa aina nyingi sana ya wadudu wanaosababisha magonjwa.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya kulima vitunguu (vitunguu maji) kwa mbinu za kilimo bora na kwa faida
Jinsi ya kutunza nyumba ya kuku ili kuzuia magonjwa
Namna ya kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara wa banda la kuku kuzuia magonjwa
Jinsi ya kutengeneza mbolea ya mboji kitaalamu na kwa urahisi
Jinsi ya kumlisha n’gombe anayekamuliwa atoe maziwa mengi
Mambo makubwa yanayosababisha kulazimika kulima au kutifua udongo
Ufugaji wa nguruwe na faida zake
Ugonjwa wa tetanasi au pepopunda unaoathiri sana punda na binadamu