Posted: September 25, 2022
Mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia. Maana tamaa za kidunia hupingana na matakwa ya Roho; na matakwa ya Roho hupingana na Tamaa za kidunia. Mambo hayo mawili hayaafikiani; kwa sababu hiyo hamuwezi kufanya yale mnayotaka nyinyi wenyewe.
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Tumaini ni nanga ya roho
Neema ya Mungu inatosha kwako
Rehema zake hudumu milele
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi