Posted: September 20, 2017
Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukiwa na Matumaini ya kua kile unachokifanya kitafanikiwa, ni sahihi na umekifanya vizuri.
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mungu akubariki!
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Imani inaweza kusogeza milima
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.