Posted: December 20, 2017
Mungu daima anawaza Mema na Anampangia Mtu Mambo mema. Kama mtu ataenda katika njia ambayo Ipo katika mipango na mapenzi ya Mungu basi atapokea yale mema Mungu aliyopanga Kwake. Lakini kama mtu ataishi kwa kufuata mapenzi yake mwenyewe basi atapoteza yale mema Aliyopangiwa.
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mungu akubariki!
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Imani inaweza kusogeza milima
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.