Posted: December 20, 2016
Kuna Zawadi moja ya Kipekee ya kumpa mtu ambayo ni Kusali na Kuomwombea Mtu aweze kuingia Mbinguni. Je, ulishawahi kutoa zawadi hii hasa kwa wale unaowapenda? Kila kitu kitabaki hapa duniani na kitapita na kusahauliwa lakini hili halina mwisho
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mungu akubariki!
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Imani inaweza kusogeza milima
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.