Posted: September 20, 2017
Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukiwa na Matumaini ya kua kile unachokifanya kitafanikiwa, ni sahihi na umekifanya vizuri.
Neema ya Mungu inatosha kwako
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mwamini katika mpango wake.
Rehema hushinda hukumu