Posted: June 21, 2024
Kampeni hii inaamini kuwa watoto yatima ni kama mali yenye thamani inayohitaji kuwekeza sasa kwa manufaa ya baadae. Hata kama hawana wazazi, wanaweza kuwa watu wa maana na wenye mafanikio makubwa ikiwa watapata malezi sahihi na ya upendo.
Neema ya Mungu inatosha kwako
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mwamini katika mpango wake.
Rehema hushinda hukumu