Posted: December 20, 2016
Kuna Zawadi moja ya Kipekee ya kumpa mtu ambayo ni Kusali na Kuomwombea Mtu aweze kuingia Mbinguni. Je, ulishawahi kutoa zawadi hii hasa kwa wale unaowapenda? Kila kitu kitabaki hapa duniani na kitapita na kusahauliwa lakini hili halina mwisho
Neema ya Mungu inatosha kwako
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mwamini katika mpango wake.
Rehema hushinda hukumu