Mungu aliumba nuru, nuru ikawa mchana na giza usiku
Mungu akaumba anga, anga likakaa juu na maji na ardhi vikawa chuini
Mungu aliumba jua mwezi na nyota, jua liangaze mcana na mwezi na nyota ziangaze usiku.
Mungu aliumba samaki na ndege
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Mungu akubariki!
Mwamini Bwana; anajua njia
Neema ya Mungu inatosha kwako
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima