Amri ya Kumi ya Mungu inakataza nini?
Inakataza;
1. Uroho
2. Uchu wa mali
3. Kijicho
4. Tamaa mbaya ya kujipatia mali
Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru nini
Amri ya Kumi ya Mungu inaamuru kuheshimu mali ya wengine na kumpenda Mungu kupita vitu vyote. (Mk 28:30).
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Rehema zake hudumu milele
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida