Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?
Does the Catholic Church Believe in the Living God, the Holy Spirit? You bet!
Read More »Does the Catholic Church Believe in the Living God, the Holy Spirit? You bet!
Read More »Huruma ya Mungu ni mwanga wa matumaini katika giza la dhambi. Kila mtu anastahili kupata fadhila hii ya Mungu na kusonga mbele na furaha.
Read More »JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA …
Swala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia? Read More »
Read More »Mama Bikira Maria alitoa ahadi 15 kwa yule au wale watakaosali Rozari takatifu kila siku. …
AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU Read More »
Read More »Muumbaji wa penseli alipomaliza kuiumba penseli yake aliiambia mambo muhimu ya kuzingatia ili iweze kuwa penseli bora kabla hajaituma kuingia kazini kwa matumizi.
“Kuna vitu sita unatakiwa uvitambue, “ Aliiambia penseli,
“Kabla sijakutuma kwenda kutumika, unatakiwa uviweke akilini vitu hivyo na usivisahau kamwe. Vitakusaidia siku zote na utakuwa penseli bora maisha yako yote.”
Alisema muumbaji wa penseli.
Read More »What does the Catholic Church believe about eternal life? Let’s dive into the joyful teachings of our faith!
Read More »Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rahabu. Huyu mwanamke aliwaokoa wapelelezi wa Israel waliotumwa kwenda kufanya uchunguzi ktk nchi yao.
Wakati wana wa Israel wanatoka Misri kuelekea nchi ya Kaanani, Mungu aliwaahidi kuwapa mji wa Yeriko. Kwahiyo walipofika ng’ambo ya mto Yordani, Yoshua akatuma wapelezi wawili kwenda kuipeleleza Yeriko kabla wana wa Israel kuivamia na kuitwaa.
Read More »Kanisa Katoliki linajiunga na mtandao wa mawazo kwa kujibu swali “Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?” Leo hii, tunajifunza kwamba Kanisa linapiga vita kwa ajili ya maslahi mazuri ya binadamu, kwa sababu Mungu anataka wote kuishi kwa furaha na amani.
Read More »1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)
Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #American alinukuliwa akisema hivi “Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya #Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.
Kukutana na Mungu ni kama kupata zawadi ya maisha, na Kanisa Katoliki linajua hili vyema! Kwa hiyo, ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Mungu? Twende tukajifunze pamoja!
Read More »