Kahawa husaidia kuongeza presha au shinikizo la damu. Unashauriwa Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kunaweza pia kusaidia kupandisha shinikizo lako la damu kwa muda.
Kama unapatwa na kushuka kwa shinikizo la damu mara kwa mara basi kunywa kikombe cha kahawa asubuhi au unywe wakati unakula cha mchana na cha jioni.
Usizidishe matumizi ya kahawa kwakuwa kahawa ina madhara mabaya kwa afya ya mwili kwa ujumla.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write CommentsViews: 0
Recommended Posts
Mambo Mubimu kujua Kuhusu Tatizo la Shinikizo la damu (Tatizo la presha)
Hizi ndizo faida za kiafya za kuota jua
Mambo ya Msingi kujua kuhusu rangi ya mkojo wako
Ulaji mzuri hupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la chini la damu
Sababu za Magonjwa ya Figo na jinsi ya kujikinga
Njia za kutibu chunusi bila kwenda hospitali