Faida kuu za ukwaju ni kama ifuatavyo:
Huondoa sumu Mwilini
Chanzo kizuri cha viua sumu mwilini ‘antioxidants’ ambavyo huzuia Saratani (cancer)
Una Vitamin B na C
Chanzo cha Vitamini B na C vile vile “carotentes”
Huondoa homa
Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
Huzuia mafua
Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
Husaidia mmengenyo wa chakula
Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa
Hutibu nyongo
Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)
Husaidia kurahisisha choo (laxative)
Hupunvuza Lehemu
Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo
Husaidia Ngozi
Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda
Huua minyoo
Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE