Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Hassan (Guest) on July 9, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Guest (Guest) on September 11, 2025

Huyo dalali hana akili

Shamim (Guest) on July 5, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kassim (Guest) on May 22, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on January 5, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Saidi (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on December 31, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rabia (Guest) on November 18, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fadhili (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on September 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Lowassa (Guest) on September 13, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Zainab (Guest) on September 11, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Minja (Guest) on August 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Chris Okello (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on August 6, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Muthoni (Guest) on August 1, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 24, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 17, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on July 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on July 13, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on July 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Mrope (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Michael Mboya (Guest) on June 25, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Warda (Guest) on June 11, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on June 4, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kimario (Guest) on May 28, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Maneno (Guest) on May 13, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Chacha (Guest) on April 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Sarah Karani (Guest) on April 16, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on April 2, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on March 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on February 23, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Josephine Nekesa (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on January 12, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mazrui (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Amollo (Guest) on November 22, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on November 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shukuru (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 7, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Zuhura (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More