Uwezekano wa kuambukizwa virusi vya UKIMWI kwa kunyonyana ndimi ni mdogo sana. Kwa kubadilishana mate wakati wa kubusiana tu, haiwezekani maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutokea. Lakini kama mmoja kati ya wapenzi ana vidonda / michubuko mdomoni, uwezekano wa kuambukizana huongezeka.

Kunyonyana ulimi kunaweza kuchangia kupata virusi vya UKIMWI?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, Ni Sahihi Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba?
Je, Ni Sahihi Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba? πΌπ
Tunaelewa kwamba vijana wetu ni kikun... Read More

Jinsi ya Kuwa na Tarehe ya Ushirikiano na Msichana
-
Anza kwa Kujijenga Kimaumbile Kabla ya kumwomba msichana tarehe ya ushirikiano, ni muhi... Read More

Jinsi ya Kuonyesha Mapenzi kwa Msichana Wako
Leo tutazungumzia juu ya jinsi ya kuonyesha mapenzi kwa msichana wako. Ingawa kuna njia nyingi to... Read More

Njia za Kujenga Uhusiano Imara na Msichana
Kujenga uhusiano na msichana ni jambo muhimu katika maisha ya kimapenzi. Uhusiano unapokuwa imara... Read More

Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Kukosa Hamu ya Ngono?
Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Kukosa Hamu ya Ngono? π
-
Jambo la kwanza kabisa... Read More

Njia za Kujenga Mazingira ya Kuaminika katika Uhusiano wako na Msichana
Njia za Kujenga Mazingira ya Kuaminika katika Uhusiano wako na Msichana
Kamwe hufai kuhisi... Read More

Je, inawezekana kujisikia huru kuelezea tamaa zako za ngono/kufanya mapenzi kwa mwenza wako?
Karibu kwenye makala hii kuhusu swali la iwapo inawezekana kujisikia huru kuelezea tamaa zako za ... Read More

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende
Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende π
Karibu sana kwenye makala hi... Read More

Dalili za kwanza za msichana au mwanamke kuwa na mimba ni zipi?

Ndoa ya kulazimishwa
Ndoa ya kulazimishwa ni ile ambayo mwanamume au mwanamke
anaozwa bila yeye mwenyewe kukubali...
Read More

Njia Rahisi za Kufanya Msichana Awe na Hamu ya Kuwa na Wewe
Wapenzi, kama unapenda msichana fulani na unataka kuwa na uhusiano naye, inaweza kuwa ngumu kumsh... Read More

Kwa nini watu hutaka kufanya mapenzi baada ya kutumia dawa za kulevya?
Dawa za kulevya huathiri ubongo jinsi unavyofanya kazi. Hubadili hisia na husaidia kuondoa aibu n... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!