Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupanga kuzaa aina fulani ya mtoto. Tulivyoona juu ni mwanaume ndiye aliye na aina mbili za mbegu. Aina moja husababisha kutokea mtoto wa kike na aina nyingine mtoto wa kiume. Mwanaume hana uwezo wa kuhakikisha achangie aina ya mbegu gani. Kwa hiyo, hata kama ni mwanaume anayeyakinisha jinsia ya mtoto, hana kosa, kwa sababu hana uwezo wa kuamua achangie mbegu ya aina gani.

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, kuna umuhimu wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Habari zenu wapenzi wa Mapenzi! Kuna umuhimu mkubwa sana wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhus... Read More

Je, mvulana afanye nini ili kuzuia ndoto nyevu?

Umri unaofaa kuoa

Njia za Kumshtua Msichana kwa Tarehe ya Kwanza
Hakuna kitu kizuri kama kukutana na msichana unayempenda kwa tarehe ya kwanza. Lakini, unapotaman... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono?
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono π
Karibu vijana wenzangu! Leo, tutaj... Read More

Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi?
Hapana, huwezi ukarithi uvutaji wa bangi. Lakini mara nyingi watoto huiga tabia za wazazi wao. Wa... Read More

Nani wa kulaumiwa kuhusu dawa za kulevya Tanzania, Serikali au wasambazaji na watumiaji?
Hakuna mtu wa kulaumiwa, lakini i i inabidi kila mtu awajibike. Kila mtu i inambidi afanye lolote... Read More

Je, ukinywa pombe unaongeza damu?
Si kweli.
Pombe haiongezi damu, vitamini wala nguvu. Ukweli ni kwamba unywaji po... Read More

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?
Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako? Ndio! Ni m... Read More

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Shinikizo la Kutaka Kupendwa?
Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Shinikizo la Kutaka Kupendwa? π€
Kuna wakati maish... Read More

Uhusiano wa ubakaji na uvaaji wa nguo fupi?
Ubakaji kamwe siyo kosa linalomhusu yeye aliyebakwa; ni kosa
linalomuhusu yeye aliyebaka. Un...
Read More

Je, nifanye nini ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Hakuna chanjo dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI, Lakini kuna mienendo ya tabia a... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!