Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Inawezekana msichana akapata mimba kabla ya kuvunja ungo?

Featured Image

Msichana anaweza kupata mimba kabla ya kuvunja ungo, yaani kabla ya kuona hedhi kwa mara ya kwanza. Kwa uhakika utajiuliza kwa nini.
Kabla ya kuona hedhi, yai ndani ya kokwa linapevuka na kusafiri kutoka kwenye kokwa mpaka tumbo la uzazi. Hedhi yenyewe ni dalili kwamba lile yai pevu halikurutubishwa na kwa hiyo linatoka pamoja na utando wa tumbo la uzazi kupitia ukeni.
Kuna maana kwamba hata kama msichana hajavunja ungo, i inawezekana kwamba ndani ya tumbo lake yai limeshaanza kupevuka. Lile yai linaweza kurutubishwa na msichana anaweza kupata mimba, hata kama hajaona hedhi yake kwa mara ya kwanza.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?

Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?

Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina ni... Read More

Je, kuna dawa yoyote ya kutibu ugumba?

Je, kuna dawa yoyote ya kutibu ugumba?

Hakuna jibu la ujumla kwa swali hili, kwa sababu tiba ya ugumba inategemea chanzo maalum cha ugum... Read More

Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?

Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?

Suala hili litatagemea na kila mtu anavyopendelea. Baadhi ya
watu hupendelea kuacha nywele z... Read More

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu?

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu?

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu? Hili ni swali ambalo huwa linawasumbua wapen... Read More

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Je, ngono/kufanya mapenzi inaathiri furaha ya uhusiano wa kimapenzi?

Haya ni maswali mengi... Read More

Jinsi ya Kujifunza Kujiheshimu na Kuheshimu Wengine kuhusu Ngono

Jinsi ya Kujifunza Kujiheshimu na Kuheshimu Wengine kuhusu Ngono

Jinsi ya Kujifunza Kujiheshimu na Kuheshimu Wengine kuhusu Ngono 😊🌍

Karibu sana kija... Read More

Njia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Njia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test... Read More

Ninawezaje kumsaidia mtu kuacha kuvuta sigara na kunywa pombe?

Ninawezaje kumsaidia mtu kuacha kuvuta sigara na kunywa pombe?

Jaribu kutafuta sababu zinazowafanya rafiki, ndugu na jamaa
zako kuwa na tabia ya kuvuta sig... Read More

Inakuwaje, baadhi ya Albino wana macho yanayochezacheza?

Inakuwaje, baadhi ya Albino wana macho yanayochezacheza?

Wapo baadhi ya Albino wenye macho ya kuchezacheza na
ambayo hayawezi kulenga pamoja. Hii ina... Read More

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?

Hapana. Hii si kweli kwa sababu maziwa hayawezi kuondoa
uharibifu uliosababishwa na nikotini... Read More

Jinsi ya Kuwa na Siku ya Kumbukumbu ya Kipekee na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Siku ya Kumbukumbu ya Kipekee na Msichana

Kumbukumbu zetu ni muhimu sana katika maisha yetu. Siku ya kumbukumbu ni siku muhimu sana kwa sab... Read More

Kwa nini hairuhususiwi kuotesha au kuvuta bangi, iwapo kupanda na kuvuta tumbaku kunaruhusiwa?

Kwa nini hairuhususiwi kuotesha au kuvuta bangi, iwapo kupanda na kuvuta tumbaku kunaruhusiwa?

Sheria ya Tanzania inaeleza dawa zilizo halali na zisizo halali.
Tumbaku imekubalika na jami... Read More