Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kwa nini ngozi ya Albino inafanana ya watu weupe?

Featured Image

Ngozi ya Albino ina ukosefu wa rangi. Inaonekana kama ya watu
weupe ambao wana kiasi cha pigimenti ndogo. Tofauti na watu
weupe ngozi ya Albino haigeuki rangi katika jua kuwa kahawia.
Sawa na watu weupe Albino lazima ajikinge na mionzi ya jua kwa
kuvaa nguo ndefu za kufunika ngozi au kutumia losheni maalumu
ya kupaka ngozi. Mfano mzuri ni wa mama wa Malkia wa Uingereza
ambaye anayo ngozi nyororo kama ya mtoto mchanga huku akiwa
na miaka 100 sasa kwa sababu hakuwahi kujiweka juani.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Kila mwanamume anapenda kukutana na msichana ambaye anaweza kuwa rafiki wa karibu na kuwa na uhus... Read More

Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana

Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana

Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana

Mawasiliano ni muhimu katika kila uhusia... Read More

Je, Tanzania kuna Albino wangapi?

Je, Tanzania kuna Albino wangapi?

Idadi kamili ya Albino Tanzania haijulikani kwani hakuna
aliyewahesabu. Inakisiwa kufuatana ... Read More

Je, watu wanasemaje kuhusu kutumia manjonjo na manukato wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanasemaje kuhusu kutumia manjonjo na manukato wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Kutumia manjonjo na manukato wakati wa ngono/kufanya mapenzi ni mada ambayo ina debate kubwa. Wap... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano ya Wazi na Msichana Wako

Ndoa ni muunganiko wa wawili kuwa ki... Read More

Kwa nini watu wanaamini kuwa Albino hawana maambukizo ya Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Kwa nini watu wanaamini kuwa Albino hawana maambukizo ya Virusi vya UKIMWI (VVU)?

Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hi... Read More

Je, Ni Sahihi Kutumia Mbinu za Asili za Kuzuia Mimba?

Je, Ni Sahihi Kutumia Mbinu za Asili za Kuzuia Mimba?

Je, ni sahihi kutumia mbinu za asili za kuzuia mimba? Hii ni swali ambalo vijana wengi hujikuta w... Read More

Vidokezo vya Kukabiliana na Ubaguzi katika Uhusiano wako na Msichana

Vidokezo vya Kukabiliana na Ubaguzi katika Uhusiano wako na Msichana

Ukitafuta vidokezo vya kukabiliana na ubaguzi katika uhusiano wako na msichana, basi umefika maha... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia muda mrefu katika kujenga msisimko kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mrefu katika kujenga msisimko kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki yangu? Leo nataka kuzungumzia suala ambalo limekuwa likiwasumbua wengi kwa mud... Read More

Sheria gani zimetungwa kuhusu ukeketaji?

Sheria gani zimetungwa kuhusu ukeketaji?

Serikali zote na mashirika ya kimataifa wameweka mdhamana
na kukubali kulinda haki za binada... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia kinga wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia kinga wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi?

  1. Kutumia Kinga Hupunguza Hatari za Maambukizi ya Ngono Kutumia kinga ni hatua muhimu kat... Read More

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? 🌸

Asante kwa kujiunga nami katika mak... Read More