Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mahitaji
Mihongo 3 - 4
Tui - 1000 ml
Chumvi - 1 kijiko cha chai
Kitungu...
Read More
Viamba upishi
Unga
2 Magi (kikombe kibuwa cha chai)
Sukari
1/3 Kikombe ch...
Read More
Mahitaji
Kupata takriban gilasi 6
Mabungo - 3
Maji - 6 au 7 Gi...
Read More
Vipimo - Mahitaji Ya Nyama
Nyama ya n’gombe ya mifupa - 3 lb
Tangawizi mbichi il...
Read More
MAHITAJI
Unga wa ngano - 2 - 2 ¼ Vikombe
Siagi - 1 ½ Kikombe
Sukari - 1 Kik...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour) vikombe 2 na1/2
Sukari (sugar) 1/2 kikombe...
Read More
Mahitaji
Nyama (kata vipande vidogodogo) - ½ kilo
Maharage - 3 vikombe
Mahin...
Read More
Mahitaji
Ndizi mbichi - 10-12
Nyama ng’ombe - 1 kilo moja
Kitunguu maji - 2...
Read More
Mahitaji
Makongoro (miguu ya ng'ombe) kiasi
Limao 1 kubwa
Kitunguu swaum
T...
Read More
Viamba upishi
Mboga za majani makavu ¼ kg
Mafuta vijiko vikubwa 3-4
Karanga zi...
Read More
Mahitaji:
Unga sembe glass 1
Unga ngano glass 1
Sukari glass 1 (unaweza kupungu...
Read More
Viamba upishi
Unga 2 Magi (vikombe vya chai)
Sukari iliyosagwa 2/3 Magi (kikombe ch...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!