Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mungu ni Mwaminifu

Featured Image

Mungu ni Mwaminifu Sana na mwenye mipango na subira katika kila kitu hasa Sala na maombi yetu kwake. Tunaposali leo Mungu anatusikia na kujibu leo, kesho au hata miaka kumi ijayo. Inawezekana hata baraka zako za leo ni majibu ya Sala zako miaka kumi iliyopita. Sali bila kuchoka kwani hujui Sala zako zitakusaidia lini. Usitegemee majibu ya Sala zako wakati huo huo, amini katika uaminifu wa Mungu kwani anajua lini ni siku sahii ya kukujibu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Tibaijuka (Guest) on April 27, 2024

Tembea kwa imani, si kwa kuona

John Mushi (Guest) on September 3, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Mercy Atieno (Guest) on August 22, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Dorothy Nkya (Guest) on August 14, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Kawawa (Guest) on July 28, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Nyerere (Guest) on July 15, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

David Nyerere (Guest) on July 10, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Ann Wambui (Guest) on July 7, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Alice Mwikali (Guest) on June 20, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Sokoine (Guest) on June 4, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Robert Ndunguru (Guest) on April 9, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Violet Mumo (Guest) on February 22, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Rose Waithera (Guest) on January 31, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Joseph Kiwanga (Guest) on July 9, 2022

Rehema zake hudumu milele

Edward Lowassa (Guest) on May 26, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Minja (Guest) on May 21, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Grace Njuguna (Guest) on April 20, 2022

Nakuombea πŸ™

Betty Cheruiyot (Guest) on March 31, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Joyce Aoko (Guest) on March 23, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Brian Karanja (Guest) on January 15, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Janet Mwikali (Guest) on October 30, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Mariam Hassan (Guest) on September 28, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Kawawa (Guest) on July 12, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Chacha (Guest) on April 25, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

John Mushi (Guest) on January 7, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Carol Nyakio (Guest) on December 1, 2020

Dumu katika Bwana.

John Malisa (Guest) on June 29, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ann Awino (Guest) on April 14, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Mercy Atieno (Guest) on February 10, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

John Lissu (Guest) on September 10, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Diana Mumbua (Guest) on February 23, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Joy Wacera (Guest) on November 16, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Paul Kamau (Guest) on August 27, 2018

Sifa kwa Bwana!

Catherine Naliaka (Guest) on June 14, 2018

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Alice Mwikali (Guest) on June 3, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Philip Nyaga (Guest) on May 20, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Grace Njuguna (Guest) on April 6, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Esther Nyambura (Guest) on March 14, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Paul Kamau (Guest) on January 13, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 6, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Frank Sokoine (Guest) on October 23, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Rose Mwinuka (Guest) on September 19, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Rose Amukowa (Guest) on August 31, 2017

Rehema hushinda hukumu

Charles Mboje (Guest) on February 23, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Monica Adhiambo (Guest) on December 12, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joy Wacera (Guest) on October 30, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Joseph Mallya (Guest) on October 15, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Dorothy Nkya (Guest) on October 5, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Henry Mollel (Guest) on March 7, 2016

Mungu akubariki!

Irene Makena (Guest) on February 5, 2016

Endelea kuwa na imani!

Related Posts

Njia ya sala

Njia ya sala

Kwa njia ya sala Binadamu anampa Mungu Utukufu, Mungu anampa Binadamu Wokovu na Neema.

... Read More
Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ndio njia pekee ya kumrudia Mungu. Toba ya kweli ndiyo iletayo maondoleo ya dhambi. Ukiond... Read More

Uwepo wa Mungu wakati wa shida

Uwepo wa Mungu wakati wa shida

Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Mungu ni mwema

Mungu ni mwema

Mungu anaporuhusu ukaingia katika majaribu na mateso hana nia ya kukutesa bali anataka kukuimaris... Read More

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Kama vile Baba anavyotamani mwanae akue katika maadili na aelekee katika njia nyoofu. Ndivyo na M... Read More

Tusali daima

Tusali daima

Sala sio kitu cha muhimu kufanya wakati wa shida tuu. Sala ni kitu cha muhimu zaidi kila siku kat... Read More

Uhuru na Amani ya Moyoni

Uhuru na Amani ya Moyoni

Uhuru Na Amani Ya Moyoni hupatikana kwa kusali wala sio kwa kusoma vitabu na kujua sana Mambo men... Read More

Sifa za Sala yeyote

Sifa za Sala yeyote

Sala yoyote ili iwe SALA lazima itolewe kwa Imani, Upendo, Unyenyekevu na kwa Matumaini. Sala kam... Read More

Furaha ya Binadamu

Furaha ya Binadamu

Kufanya Mambo mema ndipo kunaleta furaha ya kweli kwa Binadamu yeyote yule. Hakuna Binadamu anaye... Read More

Toba, msamaha na Baraka

Toba, msamaha na Baraka

Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiw... Read More

Upendo mkuu wa Yesu

Upendo mkuu wa Yesu

Fikiria umenunua zawadi nzuri ya gharama sana na unataka kumpa mtu umpendaye sana. Akipokea zawad... Read More

Sala inayojibiwa

Sala inayojibiwa

Hakuna sala yeyote itolewayo kwa unyenyekevu wa kweli katika imani, matumaini na mapendo inayopit... Read More