Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nyota (Guest) on September 24, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwanahawa (Guest) on September 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on September 5, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Abdillah (Guest) on August 6, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Husna (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Shamsa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Mwinuka (Guest) on July 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sumaya (Guest) on July 7, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Peter Mugendi (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kahina (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nassar (Guest) on May 23, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on April 28, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Farida (Guest) on April 9, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mariam Kawawa (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on March 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ruth Kibona (Guest) on February 12, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on January 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on January 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 1, 2016

Asante Ackyshine

Nora Kidata (Guest) on December 17, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on November 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on November 5, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hassan (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ann Awino (Guest) on August 9, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on July 25, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rabia (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Faith Kariuki (Guest) on June 24, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bernard Oduor (Guest) on June 23, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Josephine Nekesa (Guest) on June 14, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Chris Okello (Guest) on June 13, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tabitha Okumu (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Mwalimu (Guest) on April 20, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mahiga (Guest) on April 9, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More