Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ndoto (Guest) on March 16, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Monica Nyalandu (Guest) on February 27, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on February 13, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Nchi (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Mwangi (Guest) on January 12, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwanaidi (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jackson Makori (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Kibwana (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Wanyama (Guest) on December 18, 2016

🀣πŸ”₯😊

Omari (Guest) on December 10, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on December 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Shamsa (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on November 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Ochieng (Guest) on November 16, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jaffar (Guest) on November 5, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on November 1, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 1, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on September 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Abubakar (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Hellen Nduta (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 21, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tambwe (Guest) on August 14, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 11, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Yusuf (Guest) on August 10, 2016

Asante Ackyshine

Grace Majaliwa (Guest) on August 6, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on August 1, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jane Malecela (Guest) on June 25, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nchi (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Shukuru (Guest) on February 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Emily Chepngeno (Guest) on January 20, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 17, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on December 2, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 23, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on October 27, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Mahiga (Guest) on September 27, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on September 23, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Frank Macha (Guest) on September 2, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on August 17, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on July 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on July 14, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Zakaria (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Chacha (Guest) on April 17, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 1, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More