Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on July 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Leila (Guest) on July 4, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Brian Karanja (Guest) on June 23, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Zakia (Guest) on June 9, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on May 23, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on May 18, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on May 7, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on April 26, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

John Mwangi (Guest) on April 14, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Issa (Guest) on March 18, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kahina (Guest) on March 16, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Alice Wanjiru (Guest) on March 7, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jamal (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on February 19, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Raha (Guest) on February 2, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Betty Kimaro (Guest) on January 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Maneno (Guest) on December 8, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Anna Kibwana (Guest) on November 18, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Odhiambo (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on October 31, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on October 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on October 6, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on September 12, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwachumu (Guest) on September 1, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Mwikali (Guest) on August 10, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on July 15, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on July 1, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on June 25, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on June 12, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on May 30, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 19, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on May 3, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on May 2, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on April 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 16, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Sokoine (Guest) on March 13, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on March 12, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on January 12, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on October 12, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwalimu (Guest) on August 29, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Kitine (Guest) on August 17, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Daniel Obura (Guest) on July 3, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salima (Guest) on June 25, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Kenneth Murithi (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on May 28, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Furaha (Guest) on May 16, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Sultan (Guest) on May 15, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on April 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More