Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Linda Karimi (Guest) on May 7, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Fadhila (Guest) on May 6, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Tenga (Guest) on May 4, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on April 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on April 19, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on April 4, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 25, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Khatib (Guest) on February 27, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on February 21, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on February 11, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Nancy Akumu (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on January 26, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Awino (Guest) on December 17, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Michael Mboya (Guest) on November 14, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 6, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on September 15, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on September 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2016

🀣πŸ”₯😊

Isaac Kiptoo (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on August 13, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daudi (Guest) on August 3, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on July 25, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on July 17, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Sokoine (Guest) on July 12, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on July 8, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shani (Guest) on April 10, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alex Nyamweya (Guest) on March 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mary Kidata (Guest) on February 17, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on January 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on January 13, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Monica Adhiambo (Guest) on January 8, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joseph Njoroge (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on December 29, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nyota (Guest) on December 20, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Zakaria (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Mahiga (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Husna (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on October 18, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lydia Wanyama (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on September 1, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Diana Mallya (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on June 10, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on June 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Baraka (Guest) on May 9, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Monica Adhiambo (Guest) on April 30, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Related Posts

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More