Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 4, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on December 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Kawawa (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Grace Mligo (Guest) on September 27, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Habiba (Guest) on September 2, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Hawa (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Kimani (Guest) on July 16, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on June 28, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Benjamin Masanja (Guest) on June 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 20, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 2, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on May 18, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 5, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on March 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maimuna (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Khalifa (Guest) on January 19, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shukuru (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumaye (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on September 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Tenga (Guest) on September 2, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on July 27, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on July 18, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Stephen Kikwete (Guest) on July 10, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Otieno (Guest) on May 10, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Shukuru (Guest) on April 20, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on March 19, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Kangethe (Guest) on March 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on January 24, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Margaret Mahiga (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on January 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on December 16, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Mushi (Guest) on November 30, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on November 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on October 29, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mrema (Guest) on October 16, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Patrick Akech (Guest) on October 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jackson Makori (Guest) on October 5, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on September 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on August 24, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 10, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on July 28, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on July 24, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Benjamin Masanja (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on May 22, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Mbise (Guest) on April 15, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More