Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
โ˜ฐ
AckyShine

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Featured Image

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยปยปkwanin hutaki kujibu sms yangu,au huna mdaยป??

BOYFRENDยป>najitahid kukujibu lakin mtandao unasumbua,imefika??(SENDING FAILED)

GARLFRENDยปยปkama hunipend bhas usinijbu,kama unanipenda kwel bhas nijibu

BOYFRENDยปยปi love you (SENDING FAILED)
GALFRENDยปยปdo you lov me????

BOYFRENDยปยปi lov you baby(SENDING FAILED)

GARLFRENDยปยปusiongee na mimi tenaaaaa

BOYFRENDยปยปi love you sweetieeee(SENDING FAILED)

GARLFRENDยปยปunataka mim na wew tuachaneee????

BOYFRENDยปยปnshachoka mie na huu upUmbavu,shenz (MESSAGE SENT)

๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Wambura (Guest) on March 6, 2017

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Janet Mwikali (Guest) on February 25, 2017

Hii ni ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Habiba (Guest) on February 16, 2017

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on February 6, 2017

Nimecheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Khamis (Guest) on February 5, 2017

๐Ÿ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Hassan (Guest) on January 25, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Elizabeth Mrope (Guest) on January 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Agnes Njeri (Guest) on December 4, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 14, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 5, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hashim (Guest) on November 2, 2016

๐Ÿ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Simon Kiprono (Guest) on October 27, 2016

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Charles Mboje (Guest) on October 1, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on September 26, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐Ÿ˜†

Peter Mugendi (Guest) on September 7, 2016

Kweli mna ucheshi! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Grace Majaliwa (Guest) on August 31, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! ๐Ÿ˜„

Ann Wambui (Guest) on August 27, 2016

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sultan (Guest) on August 26, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! ๐Ÿ˜…

Rose Lowassa (Guest) on June 30, 2016

Nimefurahia sana hii joke! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Charles Mboje (Guest) on June 24, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on June 23, 2016

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Furaha (Guest) on June 5, 2016

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Fatuma (Guest) on May 14, 2016

๐Ÿ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jamal (Guest) on April 23, 2016

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Kimario (Guest) on April 1, 2016

๐Ÿ˜„ Kichekesho kamili!

Raphael Okoth (Guest) on March 9, 2016

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Mariam Hassan (Guest) on January 20, 2016

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Khalifa (Guest) on December 24, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! ๐Ÿคฃ

Rose Lowassa (Guest) on December 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

George Tenga (Guest) on December 12, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! ๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

George Mallya (Guest) on October 27, 2015

Huyu alikuwa na point! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Faiza (Guest) on October 26, 2015

๐Ÿ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Stephen Mushi (Guest) on October 11, 2015

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Michael Onyango (Guest) on September 20, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Jane Malecela (Guest) on September 9, 2015

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Chris Okello (Guest) on September 7, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Kevin Maina (Guest) on September 7, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaโ€”imebamba! ๐Ÿคฃ

Henry Mollel (Guest) on August 24, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on August 12, 2015

๐Ÿ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Francis Mtangi (Guest) on August 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Alice Wanjiru (Guest) on July 12, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on July 11, 2015

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on July 10, 2015

๐Ÿ˜ Imeongezwa kwenye vipendwa!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2015

Mna talent ya jokes! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on July 2, 2015

๐Ÿคฃ Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Paul Kamau (Guest) on June 27, 2015

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on June 11, 2015

๐Ÿ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Thomas Mtaki (Guest) on June 4, 2015

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Irene Akoth (Guest) on May 31, 2015

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on May 28, 2015

Hii imenikuna! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Jane Malecela (Guest) on May 15, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐Ÿ˜‚

James Kimani (Guest) on April 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Brian Karanja (Guest) on April 22, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Mwajuma (Guest) on April 19, 2015

๐Ÿคฃ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mhina (Guest) on April 18, 2015

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Mwinuka (Guest) on April 8, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Related Posts

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Maryโ€ฆ Hallow mpenzii
Lilyโ€ฆ. Niambie my dear
Mary... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beibโ€ฆ
B... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More