Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on June 8, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Philip Nyaga (Guest) on May 16, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on May 16, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Were (Guest) on May 15, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on April 4, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Martin Otieno (Guest) on March 17, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on March 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on March 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on January 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 4, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Habiba (Guest) on December 19, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on November 15, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on November 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on October 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 26, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Amani (Guest) on September 14, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Daniel Obura (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Shabani (Guest) on August 3, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Mrope (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on May 22, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mutheu (Guest) on May 21, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on May 16, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on May 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Irene Akoth (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Jane Muthui (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Juma (Guest) on April 5, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Emily Chepngeno (Guest) on March 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samuel Were (Guest) on March 2, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 26, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Asha (Guest) on February 13, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Lissu (Guest) on January 15, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 3, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Nancy Komba (Guest) on November 17, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on November 14, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on October 30, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Lowassa (Guest) on October 27, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

George Mallya (Guest) on October 18, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on September 7, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

George Wanjala (Guest) on August 27, 2015

🀣πŸ”₯😊

Jane Muthoni (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on August 14, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Zakia (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 24, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mohamed (Guest) on July 8, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Hellen Nduta (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Rahma (Guest) on May 28, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 28, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Nahida (Guest) on May 9, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

James Mduma (Guest) on April 17, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Violet Mumo (Guest) on April 11, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More