Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on July 17, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Jafari (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Josephine (Guest) on July 1, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 1, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on May 10, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Kiza (Guest) on April 30, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Michael Onyango (Guest) on April 15, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joseph Kitine (Guest) on March 23, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Mrema (Guest) on March 10, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on February 12, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 9, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on January 5, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Bahati (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Henry Mollel (Guest) on November 30, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Fadhila (Guest) on November 10, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on October 5, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on July 31, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Kahina (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Njoroge (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on May 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on May 26, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jaffar (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 11, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 21, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mercy Atieno (Guest) on January 18, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zainab (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on December 26, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2015

🀣πŸ”₯😊

Rahma (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on November 15, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on October 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on October 12, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on August 20, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 5, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Biashara (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Jebet (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Mchome (Guest) on May 27, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mustafa (Guest) on May 22, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on May 3, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on April 24, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More