Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salima (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on February 5, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Malima (Guest) on January 8, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nyota (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Michael Mboya (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Wilson Ombati (Guest) on November 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 16, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Raphael Okoth (Guest) on November 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on September 30, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hashim (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Janet Sumaye (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Khadija (Guest) on July 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on July 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kabura (Guest) on April 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

John Lissu (Guest) on April 12, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on April 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on March 14, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Sokoine (Guest) on March 10, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on March 2, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ruth Kibona (Guest) on January 17, 2016

🀣πŸ”₯😊

Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 21, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kiza (Guest) on December 21, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on December 16, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on December 5, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mgeni (Guest) on November 14, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Mjaka (Guest) on October 24, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Kawawa (Guest) on October 1, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tambwe (Guest) on September 24, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mwikali (Guest) on September 23, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on August 12, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on July 27, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Frank Macha (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on June 20, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on June 14, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 17, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on May 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

David Sokoine (Guest) on May 4, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More