Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"

Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. "Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti."
Nikashusha pumzi. "Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!"

Zuzu akanitupia swali. "Kwani we anko ulidhani nini?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kiwanga (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on June 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nyota (Guest) on May 6, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mwangi (Guest) on May 3, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on April 14, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sarah Mbise (Guest) on April 5, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 26, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on January 26, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Alice Mwikali (Guest) on December 29, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on December 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on December 20, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Martin Otieno (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 19, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on October 11, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mchuma (Guest) on October 8, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Nyalandu (Guest) on September 20, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on August 13, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Henry Mollel (Guest) on August 10, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Alice Wanjiru (Guest) on July 18, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on May 26, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Stephen Mushi (Guest) on May 21, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on May 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 13, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Stephen Amollo (Guest) on May 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Daniel Obura (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on April 26, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

John Lissu (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Betty Kimaro (Guest) on February 22, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on February 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 22, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 10, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Njeri (Guest) on September 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on August 6, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 27, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on June 4, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mtei (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 22, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine Nekesa (Guest) on April 23, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Kimani (Guest) on April 22, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on April 20, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on April 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on April 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More