Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jafari (Guest) on March 2, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on February 11, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on January 15, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Vincent Mwangangi (Guest) on January 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on December 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on November 3, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on October 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on October 9, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Francis Njeru (Guest) on September 28, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Baraka (Guest) on August 31, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sarah Achieng (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sarafina (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rashid (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on May 26, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwachumu (Guest) on May 10, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Mahiga (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Edward Lowassa (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on April 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Salum (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on January 31, 2016

😊🀣πŸ”₯

John Mwangi (Guest) on January 7, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on January 4, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on December 28, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on December 21, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Safiya (Guest) on November 26, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Husna (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mercy Atieno (Guest) on November 1, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Lowassa (Guest) on October 18, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Mwalimu (Guest) on October 3, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on September 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on September 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 20, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 7, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 4, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on July 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 9, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mchuma (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 16, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on April 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More