Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Malima (Guest) on March 2, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Shamim (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Jafari (Guest) on February 17, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Abdillah (Guest) on February 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on January 23, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Peter Mbise (Guest) on January 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on December 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Omar (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nekesa (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Kevin Maina (Guest) on December 9, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Nyerere (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Betty Kimaro (Guest) on November 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on October 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Charles Mrope (Guest) on October 25, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Mushi (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Zakaria (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on September 8, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Sumari (Guest) on August 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 25, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 20, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Patrick Akech (Guest) on August 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on August 12, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Majaliwa (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 5, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Kevin Maina (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Akech (Guest) on June 28, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 18, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Wairimu (Guest) on May 21, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on April 27, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Zubeida (Guest) on March 14, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Azima (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 14, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Fredrick Mutiso (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Majid (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Fadhila (Guest) on January 29, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alice Wanjiru (Guest) on January 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on November 22, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Grace Njuguna (Guest) on November 9, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anthony Kariuki (Guest) on September 20, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on July 25, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mbithe (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Abubakari (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on April 22, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More