Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Kamau (Guest) on March 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Mrope (Guest) on March 8, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hassan (Guest) on February 14, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on February 2, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 2, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on January 23, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on January 13, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on December 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Mahiga (Guest) on November 28, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on November 12, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edwin Ndambuki (Guest) on October 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Fatuma (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joyce Mussa (Guest) on October 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on September 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nahida (Guest) on August 30, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on August 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on August 6, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 2, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Wanyama (Guest) on July 17, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on July 8, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on May 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on May 17, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Warda (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ndoto (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Fikiri (Guest) on April 28, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mbise (Guest) on April 19, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on April 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 11, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shamsa (Guest) on March 1, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 29, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on February 24, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 14, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Fredrick Mutiso (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Diana Mallya (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on January 31, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on December 29, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

John Lissu (Guest) on December 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on November 28, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 21, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Majaliwa (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Hekima (Guest) on September 7, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Mallya (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sofia (Guest) on August 18, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on August 14, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Daudi (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on June 9, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on May 1, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on April 5, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

James Malima (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on April 3, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More